Sunday, May 25, 2014

MICHUANO KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI

Mkuu wa kitengo cha uzalishaji wa kampuni ya Chai bora ya Mufindi makoani Iringa Petronilla Alphoce akipena mkono na

Lambardo Mvanda, mwakirishi wa timu ya Black Cheeter ya Iringa mjini  wakati wa hafla fupi ya kukabidhi msada wa vifaa vya michezo wenye thamani ya Sh 7.7 milioni,Katikati mratibu wa mashindano hayo Daud Yasini 

 


No comments:

Post a Comment