MAKALA
Kwa kifupi kiwele anasumbuliwa na tatizo la viongu vinavyotumika kuzuia haja ndogo na kubwa kutoka kushindwa kufanya kazi.
Binafsi ninatoa shukurani zangu za dhati kwa wale waliofanikiwa kuyasoma makala ya Frenk Kiwele (21)katika gazeti la Mwananchi Mwananchi Jumapili toleo la Mei 3 mwaka huu.
Wengi wamehamsika na kuanza kumchangia mungua awabariki sana na awazidishie pale palipopungua ombi langu naomba muendelea kumchangii ili pamoja tuweze kumrejeshea kijana huyu matumaini ya kufurahia maisha yake hapa duniani.
Ukikutana naye mitaani ama nyumbani kwake akiwa amepumzika
na hata kama utamkuta akifanya baadhi ya shughuli kwa lengo la kujipatia kipato
kamwe huwezi kuadhani kama kijana huyo Frank Kiwele (21) anatatizo lolote.
Nikijana mtulivu na mwenye sura ya ucheshi mda wote
utakapokuwa amekaa naye na hata kuzungumza na,ni vigumu kuamini kama
anakabiriwa na tattizo la kutwa na haja kubw ana ndogo tatizo lililodumu tangu kuzaliwa kwake hadi
sasa.
“Tatizo hili nimezaliwa nalo kwani katika sehemu ya kiuono
unapoanzia uti wa mgongo ninauvimbe,wataalamu wanasema ndio unaosababisha uwepo
wa tatizo hilo,kimsingi limenitesa sana limenitenga na jamii na marafiki
kutokana na kutokwa na haja ndogo na kubwa bila mufulililozo bila ya hata kujitambua.”anasema
Kiwele.
Kiwele ni mtoto wa pili katika familia ya Eliuta Kiwele
ambaye amefariki duniani miaka 7 (mwaka 2007 akitanguliwa na mama mazazi wa
Frank ,Sarah Ngadango aliyefariki mwaka 2002.
Kwa kifupi kiwele anasumbuliwa na tatizo la viongu vinavyotumika kuzuia haja ndogo na kubwa kutoka kushindwa kufanya kazi.
Binafsi ninatoa shukurani zangu za dhati kwa wale waliofanikiwa kuyasoma makala ya Frenk Kiwele (21)katika gazeti la Mwananchi Mwananchi Jumapili toleo la Mei 3 mwaka huu.
Wengi wamehamsika na kuanza kumchangia mungua awabariki sana na awazidishie pale palipopungua ombi langu naomba muendelea kumchangii ili pamoja tuweze kumrejeshea kijana huyu matumaini ya kufurahia maisha yake hapa duniani.



